Moja kati ya vitu ambavyo vinapandisha na kushusha outfit yako ni mpangilio wa rangi, zinaweza kuharibu kabisa muonekano wa vazi lako kama zitapangiliwa vibaya na zinaweza kufanya vazi lako litoke kutoka 0-100 real quick. Wengi huwa tunazikimbia kutokana na kuto kujua namna ya kuzipangilia ili kupata muonekano mzuri tunachagua kuwa kwenye comfort zone ya rangi zilezile na kuto kutoka zaidi ya hapo well leo tunakuletea namna 3 kati ya 6 tulizoziandaa ya jinsi ya kutumia rangi katika muonekano wako na ukaonekana vizuri.
Lets Hack Them
- Take Baby Steps / Power Of Contrast
Kama ambavyo tulisema mwanzo rangi zinaweza kupandisha na kushusha muonekano wako kwa hiyo instead ya kuharakisha kuanza kutumia rangi nyingi kwenye outfit moja unaweza kuanza na step ndogo ndogo kama kuanza kuvaa a statement bright color na dark colors, eg unaweza kuvaa vazi la rangi nyeusi tupu ukaongezea na viatu au blazer yenye rangi kidogo.
Kama hapa ambapo tunamuona style blogger style pantry akiwa amevalia rangi zilizo tulia akiwa amemalizia na viatu ambavyo vina rangi kali, viatu vimekuwa kama statement na attention imehamia kwenye miguu wakati juu akiwa simple tu mavazi yake.
Hapa aliamua hii top yake ya neon yellow ndio iwe statement katika vazi lake huku akimalizia muonekano wake na neutral colors
- Monochrome Colors
Ukitoka kwenye baby step unachoweza kufanya baada ya hapo ni kuvaa monochrome colors yaani kuvaa vazi la rangi moja juu mpaka chini, hii inasaidia kutokuonekana una mambo mengi au rangi nyingi katika outfit moja, unaweza kuchagua kuvaa rangi nyeupe juu mpaka chini, nyekundu etc rangi yoyote inawezana kuvaliwa na bado ukaonekana umetumia rangi lakini haupo too much
Unaweza kutumia rangi ambazo zimetulia kidogo sio ziwe neutral kabisa unaweza kutumia light to dark colors kama alivyofanya Chinyere Chi-Chi Adogu na hii purple lavender color
Au ukatumia bright colors kama yellow, green au yoyote kama ambavyo simply palesa amefanya na outfit yake, ametumia shade moja ya rangi ya njano kuanzia viatu mavazi na funny pack wakati kwenye accessories ameamua kutumia dark yellow.
- Pick A Common Color
Unapovaa colorful outfit iwe floral, stripes au outfit ya zangi tofauti unahitaji kuchagua rangi moja iliyopo katika outfit hio ambayo itafanya outfit ionekane putted together, one common color ambayo itaonekana mara nyingi kufanya outfit yako iongee rangi hio. Unaweza kubeba mkoba wa rangi hio, kuvaa hereni, miwani,saa, au hata blazer ya rangi hio ilimradi hio rangi ionekane ndio rangi kuu ya vazi lako.
Simply Palesa hapa alichagua hii rangi ya njano iliyopo katika two pieces zake ndio iwe rangi kuu kwa kuongezea viatu, waist bag na hereni zenye rangi ya njano.
Kuwa na sisi tena wiki ijayo wakati tukikuletea sehemu ya pili na ya mwisho ya tips hizi, kama una tatizo katika fashion, style na beauty na ungependa tuliongelee tuandikie katika box la comment au katika account zetu katika mitandao ya kijamii
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/color-hacks-for-a-killer-outfit-part-1/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/color-hacks-for-a-killer-outfit-part-1/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/color-hacks-for-a-killer-outfit-part-1/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/color-hacks-for-a-killer-outfit-part-1/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 54120 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/color-hacks-for-a-killer-outfit-part-1/ […]