Wakati mwingine kuongeza rangi katika mtoko wako kuna sababisha siku yako iwe njema kabisa, a little touch of color can change your mood. Wakati mwingine unaweza kuamka na siku mbaya kabisa inabidi ujaribu kutafuta kitu gani kinaweza kufanya siku yako ibadilike, na kitu rahisi ni ku-add color kwenye mtoko wako lakini unapo kuwa na siku mbaya na ukavaa rangi za kufifia (kama nyeusi,damu ya mzee etc)bado utaendelea kujihisi vibaya, katika pita pita zetu tumekutana na hawa Fashionistas ambao tumependa jinsi walivyo changanya rangi katika mitoko yao
Fashion Blogger @swaggaismything yeye ametuonyesha uwezo wake wa kuchanganya rangi kwa kuvaa suit yenye rangi ya baby yellow, huku akiwa amevalia na viatu vya pink akimatch na pochi ya pink amemalizia muonekano wake na accessories (pete, miwani na bracelet) huku akiwa ame pop orange lipstick, unaweza kuona namna amechanganya rangi tatu zinawowaka bila kuwa too much.
Fashion Blogger mwingine anaependa rangi @SimplyCyn, yeye amevaa mustard sweater, suruali nyekundu huku akiwa amebeba pochi ya orange, amemalizia muonekano wake na lipstick nyekundu na huge ring earrings unaweza kuona uwezo wake wa kuchanganya rangi sio kila mtu anaweza kuvaa rangi zote hizi na kuonekana this cute. unaweza kujaribu pia.
Fashion Blogger kutoka angola @angodiva yeye aliamua kutumia viatu na suruali kubrighten muonekano wake, ambapo alivaa suruali nyekundu, open heels nyekundu pia huku akiwa amemalizia muonekano wake na black & white polka dot blouse na black clutch.
Green & orange on @SimplyCyn,
Hivi ndivyo namna unaweza kuongeza rangi kwenye mionekano yako kama wewe ni mpenzi wa rangi.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 93789 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/colorful-outfit-ideas-to-brighten-your-day/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/colorful-outfit-ideas-to-brighten-your-day/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 29323 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/colorful-outfit-ideas-to-brighten-your-day/ […]