SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Copycatting Much?
Mitindo

Copycatting Much? 

Mwaka jana mwezi wa tisa Queen Bee au kwa jina lake la kuzaliwa Beyonce alitu-bless na tour ya Otr 11 ambapo ukiachana na show zake kusifiwa na ku-trend Beyonce alianzisha trend kadhaa za mavazi ikiwepo kuzirudisha kwenye trend hizi Cartwheel hat, alizivaa mara kwa mara katika tour yake hiyo na tulijua zitakuwa trend which kutoka September mpaka sasa bado tunaendelea kuziona.

Kwenye tour yake hii Beyonce alivaa hii  leopard print bodysuit ambayo ili include large hat pamoja na boots,  akiwa katika tour yake mjini London, outfit hii imeonekana kuwavutia wasanii wengi na kuwa wanatumia katika video zao, kitu ambacho kwetu tumeona tukiweke hapa tukiongee

Mwezi March mwaka huu tulimuona mwanamuziki Nina Roz kutoka Uganda akiwa ameshoot video yake iitwayo Munda Dala akiwa kwenye outfit kama ya Beyonce kasoro tu yeye hakuwa na boots chini, we said to our self Afro take a chill pill its okay to be inspired tukaamua kunyamaza na kauicha ipite

Mwezi mmoja ukapita First Lady Wa WCB, Queen Darleen akatoa wimbo wake uitwao Muhogo, humo ndio kuna balaa amecopy outfit nyingi kutoka kwa wasanii wakubwa mbalimbali akiwepo Beyonce , tulikuwa tagged na watu wengi wakaomba tuongelee, tukasema hamna ha kuongelea maana hatuna kizuri cha kuongelea kuhusu video hio. Na yeye pia alivaa hili vazi ambalo linaendana excactly na la Beyonce kasoro tu ya Queen Darleen ilikuwa ni cheap version

Na juzi tu hapa mwezi huu mwanamuziki Lulu Diva nae ameonekana kwenye outfit inayoendana na hii hii katika video ya wimbo wake wa mapopo, yeye alimua kucheza nayo kidogo kwa kuvaa one shoulder jumpsuit na kofia

Well hii imetufanya tuwaze ni kweli uwezo wetu wa kufikiri kuhusu fashion & style ndio unaishia hapa? kwanini tunaona copy cat ni kitu kizuri? Kwanini tunasubiri wengine wafanye na sisi tufuate? Hatuwezi ku-create cha kwetu au kuwa inspired kufanya bora zaidi ya wenzetu bali sisi tunakomaa na mediocrity? hizi ni video tatu na zime kuwa styled na stylist tofauti tofauti Je? Stylist wetu mnafanya nini? is this the best you can do? Hii industry itakuwa kwa ku-copy watu wengine?

Afromates lets sip this coffee and discuss je hii ni sawa?

Related posts

6 Comments

  1. Plantation Shutters

    … [Trackback]

    […] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/copycatting-much/ […]

  2. สล็อตเว็บนอก

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/copycatting-much/ […]

  3. one up gummies ape

    … [Trackback]

    […] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/copycatting-much/ […]

  4. one up chocolate bar review

    … [Trackback]

    […] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/copycatting-much/ […]

  5. Get the facts

    … [Trackback]

    […] Here you can find 62664 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/copycatting-much/ […]

  6. magic mushrooms for sale near me​

    … [Trackback]

    […] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/copycatting-much/ […]

Comments are closed.