Catherine ni fashion blogger kutoka Kenya, ni mama wa kufikia wa watoto sita (how amaizing is that?). Blog yake inaitwa fashionablestepmom ambapo ukisoma kuhusu yeye unakuta maelezo yake yote, lilituvutia zaidi ni kwamba amefungua hii blog kwa ajili ya mama wa kufikia ambao kwake anahisi hawachukuliwi serious katika jamii (which is true though), na hii si tu kwa step mothers, bali kwa wamama na wasichana ambao wanatoka katika usichana na kuingia umama, hapa katikati its a bit confusing unashindwa kujua ujiweke vipi ukivaa kisichana utaambiwa unaonekana mama ukivaa kimama una jizeesha, kwetu tunadhani this is a perfect blog kwa wasichana wamama (lol).
She knows how to keep up with trend yet looking just fabulous, Gingham ime kuwa kwenye trend kwa muda yeye amua kuvaa trend hii in a dramatic shoulder pencil dress na pumps, ame accessorize na simple accessory to make it more womanly.
Mom’s can rock off shoulders too & well this dress is fire, tumependa color coordination pink na burgundy, hii outfit unaweza kwenda nayo diner date ( bringing out the sexiness in a classy way)
Pleated Skirt nazo zipo so in yeye amechagua green pleated skirt ambayo amevalia na Black top with lace up shoes, ambapo amemaliza mtoko wake na clutch inayo endana rangi na outfit yake, gold choker na saa. Oh that make up is poping
You can never go wrong with white, tulicho kipenda kuhusu Catherine ni jinsi ambavyo ana turn trendy outfit ambazo zinavaliwa na wasichana wengi to a woman hood outfit.
Casual Not Too casual
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/crushing-on-catherine-a-fashionable-stepmother/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/crushing-on-catherine-a-fashionable-stepmother/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 49321 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/crushing-on-catherine-a-fashionable-stepmother/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 70794 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/crushing-on-catherine-a-fashionable-stepmother/ […]