Tumesha sikia au kulitumia hili neno mara nyingi, unaweza kuwa umekutana na mtu ambae ulikuwa unamjua zamani akakwambia umejiachia au wewe ukajiuliza kwanini huyu amejiachia hivi? Lakini ukajiuliza hili neno kujiachia ni nini au kwanini huyu mtu amekwambia hivyo au ameona nini mpaka akasema haya maneno?
Kwanza tujue kujiachia ni nini?
Kujiachia kama ambavyo lipo yaani upoupo tu inawezekana umejiachia kimavazi au kimwili kuna msemo huwa unasema “Upo upo tu Duniani haupo na Akhera wanakutafuta” hii ni maana nzuri ya kujiachia lol. Well ni nini utaona kujua sasa nimejiachia?
- Hujijali
Hukumbuki mara ya mwisho lini umekaa ukapumzika vyema, upo kila mahali ukiamka wewe ni mwenda wa kuzurura leo upo huku kesho upo kule huna siku ambayo unasema upumzike na kujali mwili wako, huangalii unachokula unajilia tu chochote au una skip kula basi jua umejiachia.
- Unakasirika haraka
Je ni moja kati ya wale watu kitu kidogo tu kinakuudhi? umeacha stress za maisha zichukue furaha yako na kuondoa nuru katika maisha yako? unatembea umekunja sura bila sababu maalum? Hutaki kuonana na watu unaona kero wakati mwingine hata unajificha usikutane watu? jua umejiachia
- Umeacha kujali kuhusu muonekano wako
Hukumbuki mara ya mwisho umekaa ukaangalia mavazi gani ya kuvaa, hukumbuki mara ya mwisho umejali ngozi yako au muonekano wako, basi jua umejiachia na huna habari na mwili au muonekano wako.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…