Kuna wakati unapata mitoko na hutaki kuvaa too extra au magauni unataka kuonekana simple & sexy, well leo tumekuleea baadhi ya mitoko unaweza kuvaa ukatoka na kupendeza
Crop top + short pants + Colorful shoes – sisi tumechagua neutral color na bold colors, kama upo vizuri kwenye styling na colors unaweza kustyle vyovyote uwezavyo, unaweza ukawa na pant nzuri lakini labda uwa unavaaga tu weekend casual unaweza kuitumia hio kuwa mtoko wako wa usku by simply adding a nice top, sisi tumechagua off shoulder & chic top na colorful mid heel shoes.
Shirt Dress – unaweza ukawa nayo lakini huivai kwenye mitoko, shirt dress can be very chic if worn right, tafuta shirt dress yako match au mix rangi na viatu beba na a simple clutch you good to go.
High Waist Trouser + Crop tops – high waist trouser are must haves, ukihitaji kushow curves na kupata ile elegant look basi hapa ni mahala pake, changanya rangi vizuri na accessorize.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…