Kama ambavyo alivyoimba love is sweet ooh, hasa ukiwa na pesa huwa tunasema kheri ulie kwenye gari kuliko kulilia kwenye daladala (if you gerit you gerit if you don’t forget about it lol),
Anyways Chioma amefikisha miaka 28 hivi karibuni na mumewe Davido amemzawadia zawadi mbalimbali ikiwepo 3 birkin bags, lady Dior bag iliyokuwa customized na neno “Chi” kifupi cha jina la Chioma lakini pia alimzawadia saa kutoka kwa Richard Mille ( money talks)
Bags za birkin kawaida huanzia kuuzwa usd 10,000 sawa na Tsh 23,530,000 na amemzawadia 3 yaani Usd 30,000/- zimemtoka unaweza kuzidisha ukajua ame spend shilingi ngapi, wakati lady dior bag huanzia kuuzwa Usd usd 3,459 sawa na Tsh 8,128,653.46.
Kama haitoshi Davido alimchukulia mkewe saa kutoka kwa Richard Mille, saa hii ni RM011-03 Men Automatic Transparent Dial Stainless Steel Rubber Yellow Band ambayo wame-match yaani Davido anayo na Chioma anayo.
Wakati bado hatuna uhakika na bei ya saa hii kwa kawaida saa kutoka kwenye brand ya Richard Mille uanzia kuuzwa $200,000 sawa na Tsh 47,060,000/- money is sweet ooh.
Ifahamu Lady Dior Bag Aliyozawadiwa Vanessa Mdee Na Mumewe Rotimi
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…