Moja kati ya njia ambazo kwasasa kampuni kubwa zinafanya kupata wateja ni kutumia influencial people kutangaza bidhaa zao, na wengi wao huwa wanakutumia bidhaa bure na unachotakiwa kufanya ni ku-post tu katika mitandao yako ya kijamii kuonyesha bidhaa yao.
Rihanna na Puma wamedrop collection yao ya kwanza under new partnership ya brand hizo na ni sneakers zilizopewa jina La Avanti, Viatu hivi sio vipya katika Kampuni ya Puma bali ni remix ya Iconic Puma Avanti Sneakers, kilicho inspire collection yao hii ni Rihaana na mapenzi yake katika mchezo wa soccer.

Well moja kati ya watu wa kwanza kabisa kupata viatu hivi ni mwanamuziki Davido kutoka Nigeria na kupitia Instagram yake aliwashukuru Puma na Rihanna kwa kumtumia hivi viatu, mpaka hapo ni kwamba ametumika kama Influencer na tunajua unapaswa kuwa mtu wa aina fulani kwa brand kubwa kukuamini na kukupa kitu chao uwatangazie, ukiachana na kutangaza Davido pia ana collaboration collection yake na Puma ambayo ili drop mwaka huu April, Je sisi tutafika lini huku? tuendelee kuwa subra
The designs include a show-stopping metallic leather colorway and a tan/black colorway available in women’s, men’s, kids’ and toddler sizes, Pia vinauzwa kuanzai USD 149 mpaka 269/- yaani Tsh 373,245 mpaka 673,845.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…