Moja kati ya trend kubwa iliyoonekana katika fashion week za Africa lakini pia na Ulaya ni deconstructed clothes ambapo mtindo huu ni kwamba nguo ina vurugwa ule muonekanao wake wa kawaida, mfano mkono kutolewa upande mmoja etc. Na kwa sasa mtindo huu una trend in real life, tumeona watu maarufu mbalimbali nje na ndani ya Nchi wakiwa wamevaa fashion hii lakini hasa ikiwa imevaliwa kama Blazer.
Mara ya kwanza tulimuona mbunifu kutoka hapahapa Tanzania Mgece Cici akiwa amevalia hii deconstructed blazer katika tamasha la Swahili Fashion Week 2019, na yeye alimade katika wale waliopendeza zaidi katika usiku huu wa Swahili Fashion Week
Mbunifu huyu alivaa hii blazer kama ndio statement piece huku akimalizia na black pump, statement dropped earrings na no makeup makeup look.
Tumemuona pia fashion influencer kutoka South Africa Vanessa Matsena akiwa amevalia deconstructed blaze na yeye ikiwa na rangi nyeusi, yeye alivalia na biker shorts, akabeba na red Balenciaga min bag aliyo match na lipstick akiwa amemalizia na matrix glasses na mtindo wake wa rasta.
Mwanadada Kourtney Kardashian an yeye pia alionekana in Deconstructed blazer ya kwake yeye ikiwa imekatwa kidogo chini ya nyonyo na yeye alivaa kama suit akiwa amemaliza na sleek hairstyle na nude makeup.
Wakati mwanamitindo Blacchyna yeye alivaa half dress half blazer dress ya rangi nyeupe na nyeusi huku akiwa kamalizia na heels nyeusi.
Well Afromates Yay or Nay for this trend?
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 39470 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/deconstructed-blazer-are-trending-now/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/deconstructed-blazer-are-trending-now/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/deconstructed-blazer-are-trending-now/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/deconstructed-blazer-are-trending-now/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/deconstructed-blazer-are-trending-now/ […]