Denim ni vazi ambalo linaweza kuvalika mara nyingi na kwa namna nyingi upendavyo, unaweza kuvaa casual, date, ofisini na kwenye occasion mbalimbali, well ikiwa vazi hili lipo kwa miaka na miaka, wabunifu wamekuwa wakijaribu kuli-modify na kuleta mitindo ya namna tofauti tofauti.
Leo tunakuletea Paula Paul Majani ambae ni a teen tunaemuona anachipukia kwenye mitindo, tumekuletea namna mbalimbali ambazo ame-style denim zake na unaweza kupendezwa nazo na kujaribu weekend hii.
Ripped Denim, kwa Paula ni binti mdogo ambae anapenda kushow off mwili wake, most of the times anavaa mavazi haya na crop tops. Kama ni mpenzi wa crop top then be inspired lakini kama sio mpenzi wa mavazi haya unaweza kuangalia namna ambavyo ame color co-ordinate.
Denim Coat ni moja kati ya pieces hutakiwi kukosa kwenye kabati lako, inaweza kuinua vazi lako kwa kiasi kikubwa, lakini pia ni moja ya piece ambayo unaweza kustyle na kila kitu.
Denim Shorts, zipo kwenye trend kwa sasa, ni perfect piece kwa ajili ya weekend kama unaenda shopping, unaenda beach au hata kwenye night clubs zinafaa sana hasa ukiangalia na hili joto sio friendly ni namna moja wapo ya kupunga hewa.
Well that’s it for this weekend tuambie je wewe huwa unapendelea ku-style vipi mavazi yako ya denim?
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/denim-affairs-with-paula-majani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/denim-affairs-with-paula-majani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/denim-affairs-with-paula-majani/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 93156 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/denim-affairs-with-paula-majani/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/denim-affairs-with-paula-majani/ […]