Mwaka 2017 ume kuwa mwaka wa Denim kwa sababu every fashionista is rocking them na kikubwa au kizuri zaidi ni kule kuongezewa (spice up) denim, 2017b tumeona the coming back of denim ukianzia mom jeans, wide legs jeans, flayed denim, embroiled denim and so on na kikubwa ni kwamba sio suruali tu bali ma shirt, skirts, jackets, dresses hadi viatu we love the trend kwa sababu kila mtu can afford it.
Lakini huwa wana sema ukimsifia mgema tembo hutia maji, basi ndipo ambapo hii trend ya denim inapo elekea kwa past few weeks kume kuwa na mionekano mipya ya denim ambayo kiukweli mtu wa kawaida ukiivaa watu wataulizana ume ingiwa na wazimu au vipi japo wanapo rock wasanii wakubwa it seem fine
Top Shop walikuja na hizi”Clear Panel Mom Jeans.” ambapo watu wengi walionekana kushangazwa nazo, ni kama distressed jeans lakini zenyewe zime pachikwa hio plastick hapo kwenye magoti, well hatujui nini inspired them kutengeneza hizi jeans
Well our favorite denim brand Levi’s, levi’s wapo tangu na tangu and their jeans ni nzuri mpo guess what? mwaka huu wamefanya collaboration na brand nyingine ya jeans Vetements na wakaja na idea hii ya jeans ambayo ina zip nyuma you can actual show off your butt ukiifungua pia hatujui nini kime inspire hii investment labda ni urahisi wa kuigia chooni but ukweli ni kwamba they are killing the denim name
Unaweza kuona hii nayo kutoka kwa Laura Govan who ever thought of this ame wafikiria watu wa chache sana cause most of people duniani hawawezi kuvaa hii nguo
Half Leg Jeans, Haya nani atavaa suruali ambayo ipo nusu? huwa wana zitengeneza kwa ma star tu au kwa one time show off cause hatuwezi ku picture watu njiani wamevaa half leg suruali nguo za ndani zikionekana laini Ryan Destiny did it ni juzi tu hapo kwenye couchella well kapendeza ila nani mwingine ata vaa? we sit and wait kumuona mwingine in these type of jeans
Je una maoni yapi kuhusu hii trend inapo elekea? tuambie kupitia social networks zetu
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/denim-madness/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/denim-madness/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/denim-madness/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/denim-madness/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/denim-madness/ […]