Social network ni njia rahisi ambayo huturahisishia vyombo vya habari kujua watu maarufu wanafanya nini, wanaenda wapi, wamevaa nini nakadhalika, leo kupitia account yake ya instagram tumemuona mwanamuziki Diamond Platnumz akiwa anatoka kuelekea Oman mjini Muscat, na tulicho notice katika outfit yake ni hii Louis Vuitton Keepall bandouliere 50 Monogram Galaxy,
Louis Vuitton Keepall bandouliere 50 Monogram Galaxy tumeziona katika collection mpya ya Louis Vuitton Pre-collection Spring-Summer 2019, ikiwa chini ya mbunifu Virgil Abloh, sifa za hii bag ni kuwa imekuwa inspired na Michael Jackson iconic “Anti-Gravity Lean”
Bag hii inakadiriwa kuuzwa Eur 2500 sawa na pesa za kitanzania milioni 6,504,250, well ukitaka kuvaa brands shurti ugharamie
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…