Mwanamuziki Diamond Platnumz amefanya interview na Gazeti la Gq Magazine South Africa, humu ameongelea mambo mengi lakini kubwa zaidi ni safari yake kimuziki na deal alilolipata na kampuni ya kinywaji cha balaire.
Well katika moja ya maswali ambayo aliulizwa ni nini siri yake katika style za mavazi? Jibu lake lilikuwa kwamba inategemea na vibe na mood aliyokuwa nayo siku hio na huwa anatumia vibe hio kujua avae nini.
Not bad but boo boo needs a stylist maana ukitegemea mood zako kuna siku unakuwa na mood nzuri siku nyingine mbaya ukiwa na stylist we won’t know which mood your in. Lakini pia alisema kwamba ame co design hii jacket mnaiona amevaa kwenye cocktail video yake na Balaire na kwamba kuna nafasi ya fans zake kushinda jacket hili week hii so get ready.
View this post on InstagramA post shared by Chibu Dangote..! (@diamondplatnumz) on
Kusoma zaidi hii interview ingia hapa GQSouthAfrica
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-co-design-the-jacket-he-is-wearing-on-cocktail-video-with-belaire/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-co-design-the-jacket-he-is-wearing-on-cocktail-video-with-belaire/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-co-design-the-jacket-he-is-wearing-on-cocktail-video-with-belaire/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-co-design-the-jacket-he-is-wearing-on-cocktail-video-with-belaire/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-co-design-the-jacket-he-is-wearing-on-cocktail-video-with-belaire/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-co-design-the-jacket-he-is-wearing-on-cocktail-video-with-belaire/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 13066 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-co-design-the-jacket-he-is-wearing-on-cocktail-video-with-belaire/ […]