Katika barua yetu ya kufunga na kufungua mwaka 2019, tuliandika kuhusu wasanii wanavyo weza kufanya kazi na wabunifu na kufanya kazi zetu zionekane na kusonga mbele zaidi, inaonekana kwa namna moja au nyingine hili swala limeanza kufanyiwa kazi na stylist wameanza kutumia mavazi kutoka kwa wabunifu wa nyumbani katika kazi zao.
Jana msanii Diamond Platnumz ametoa video ya wimbo wake mpya uitwao the one na kitu tulicho notice ni yeye kutumia mavazi kutoka kwa wabunifu kutoka Tanzania ambapo alitumia mavazi hayo kutoka kwa wabunifu kikisfashion, luckycreations.tz ,houze_tz ,ellyfire na makeke_international, tumependa tulicho kiona.
Gauni hili lilivaliwa na moja ya model katika video hio ambapo vazi hili ni kutoka katika collection ya mbunifu Kiki Zimba ya mwaka 2015.
Lakini pia unaweza kuona print kama hii kutoka katika video hio ambayo inatoka kwa mbunifu Samuel Zebedayo au Houze_tz
Unaweza kuingalia video hio hapa
Wakati pia msanii kutoka Uganda Eddy Kenzo nae alitoa video yake iitwayo‘Signal’, yeye alitumia mavazi kutoka kwa mbunifu David Tlale’s Spring Summer 18/19 collection iliyoitwa ‘Azania
Unaweza kuangalia video yake hapa
Tupe maoni yako je unaonaje hii system ya wasanii kutumia mavazi kutoka kwa wabunifu?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-eddy-kenzos-new-music-videos-are-basically-designers-fashion-show/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 43104 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-eddy-kenzos-new-music-videos-are-basically-designers-fashion-show/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-eddy-kenzos-new-music-videos-are-basically-designers-fashion-show/ […]