Durag imeanza miaka mingi ambapo ilianza kutumika kama symbol ya black power movement kipindi cha Utumwa. Kwa sasa inatumika kuvaliwa kama urembo ambapo imeonekana kutumika na wasanii wengi maarufu wa Nje na Ndani ya Nchi.
Kwa sasa inaonekana ku-trend Nchini kwetu ambapo baadhi ya wasanii wakubwa kama Diamond Platnumz, Juma Jux na Harmonize wameonekana kuvalia kitambaa hiki kilichopewa jina la Durag.
Diamond Platnumz imeonekana kwa sasa hii ndio favorite accessory yake kwa maana tumemuona mara kadhaa akiwa ameivalia from white, black, yellow Etc. Itakuwa ana collection ya Durag and we would love to see it.
Harmonize na yeye ameonekana kuvutiwa na trend hii ambapo nae tumemuona mara kadhaa akiwa amevalia na yeye anavyo vitambaa hivi kwa rangi kadhaa kama nyeupe, cheusi na blue.
Wakati mkali wa fashion Juma Jux nae hakuwa nyuma kupitwa na trend hii ambapo yeye tumemuona na za kwake nyekundu na nyeupe.
Well Afromates tuambieni ni yay au nay kwa hii trend?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-juma-jux-and-harmonize-in-durag-trend/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 96177 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-juma-jux-and-harmonize-in-durag-trend/ […]