Sote tunapenda mwanaume anaejipenda, mwanaume ambae ana gharamikia muonekeno wake. Wanaume wengi huwa wanakumbuka kuweka nywele zao sawa, mavazi sawa bling bling za hapa na pale lakini tatizo huwa linakuja kwenye viatu wanajisahau kabisa na kuvaa viatu ambavyo havieleweki. Japo hili swala limeonekana ni vice versa kwa mwanamuziki Diamond Platnumz he is a full package.
Oh well week iliyopita alipost picha yake katika mtandao wa Instagram akiwa airport, mavazi yake yalikuwa ya kawaida kilichotuvuta kwake ni hivi viatu vya Gucci.

Viatu hivi vinaitwa Rhyton sneaker with mouth print na kwenye blog ya Gucci vinauzwa $890 sawa na fedha za kitanzania 2,064,800/-. Vilikuwa released mwaka jana, Cruise 2019.

Kwa wale ambao mtajiuliza ni kweli alivyovaa vina hiyo thamani au ni fake?
Well GUCCI Rhyton sneaker with mouth print sifa zake ni kwamba
- White leather treated for a vintage, distressed effect
- Mouth and Gucci print
- Debossed Gucci logo at the back sole
- Men’s
- Rubber sole
- 2″ height
- Made in Italy
Ukiangalia ya mondi inakila kitu tatizo tu ni hio distressed effect (kama uchafu wa gray upo kwenye kiatu) zake ni full white lakini inawezekana pia ni editing za bwana Lukamba zimepoteza uhalisia anyways #afromates let us know your thoughts Og or Fake?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-rocking-gucci-rhyton-sneaker-zenye-thamani-ya-2064800/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-rocking-gucci-rhyton-sneaker-zenye-thamani-ya-2064800/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-rocking-gucci-rhyton-sneaker-zenye-thamani-ya-2064800/ […]