Okay Afromates tulishawahi kuongelea muonekano wa Diamond Platnumz na mchumba wake wa sasa kwamba hairidhishi, the girl is 23 years old for God Sake tunatamani angekuwa anajaribu kuji push kuwa na muonekano mzuri unaoendana na umri wake na body yake, she is too pretty but too regular kwenye mavazi as for Diamond we cant complain amechukua mikoba ya stylist wake Q Boy ( Messy looks)
Well hii ni mara ya kwanza kwa wawili hawa ku-attend katika red carpet pamoja na sisi tupo hapa kuongelea muonekano wao.
Lets Start na Tanasha, This dress is so good but not for her, kwanza kabisa kifuani haija mtosha tuna uhakika alikuwa anahangaika kupandisha hii nguo mara kwa mara, this reminds us na msemo usemao if it doesn’t fit don’t force it, lakini pia ingependeza zaidi kama ingekuwa ndefu au wangetoa hii extra plain kitambaa chini yaani ibaki hii blue dress fupi ya juu ila hii imekuwa ina hang – hang yaani haijakamilika. But otherwise she did good, pretty hair, nice accessories, makeup on point we are glad to see her in different shoes.
Diamond yeye alikuwa fine we are so used na hii look yake, lakini its about time sasa aanze kuvaa suruali zinazofika chini like bro give us something different 2019, vingine vyote classic.
Kwetu tunawapa 50/50 hawaja WOW wala hawajakosea sana tunaweza kusema vuguvugu for first appearance the fashion community deserved more than this.
Well Afromates let us know your views ninyi mnaonaje huu muonekano wao?
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 51240 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-tanasha-donna-first-red-carpet-appearance/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-tanasha-donna-first-red-carpet-appearance/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-tanasha-donna-first-red-carpet-appearance/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-tanasha-donna-first-red-carpet-appearance/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 22310 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-tanasha-donna-first-red-carpet-appearance/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diamond-platnumz-tanasha-donna-first-red-carpet-appearance/ […]