Kuna wakati mwingine unacho hitaji ni mpiga picha mzuri na a good stylist na hiko ndicho alicho kifanya miss Tanzania 2016/2017, baada ya watu kulia sana kuhusu muonekano wake Diana ameonekana kuamua ku take responsibility na kuwa ridhisha wa-Tanzania ki ukweli kabisa hata wa kina Kim Kardashia, Beyonce, Amber Rose wana mapungufu yao lakini wana jitahidi kuyaficha kwa kuvaa vizuri na kupiga picha nzuri. Diana hii ni one step ahead kesho na kesho kutwa brand zitakugongea hodi na kukulipa kwa matangazo na utakuwa na muonekano mzuri zaidi ya huu.
Photography and Color grading @clemence_
Photography MUA @julietkundi
Stylist @macridajoseph
Accessories @manyatta101
Video BTS @ze5k Retouching @adelinaretoucher
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diana-flave-looks-hot-katika-picha-zake-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/diana-flave-looks-hot-katika-picha-zake-mpya/ […]