Moja kati ya wanamitindo bora kabisa kutoka Tanzania, ambae huwa anapata nafasi ya kukanyaga katika red carpet ya Cannes Film Festival ni mwanadada Miriam Odemba. Miriam ni zao kutoka Tanzania ambalo tunajivunia kuwa nalo. Kama ambavyo tunajua Cannes Film Festival inaendelea huko kwa wenzetu na tumepata kuona Mwanadada kutoka Ghana akiwa amehudhuria lakini Tanzania haikubaki nyuma Miriam ametuwakilisha na hizi ndizo outfit zake za mwaka huu.
Siku ya kwanza Miriam alivaa hii old & black dress kutoka kwa Dress by @kimktorza @diamant_blanc , the dress is gorgeous, ime fit vizuri waist snatched, ukilinganisha na mtoko wake wa mwaka jana tunadhani mwaka huu ame improve tunapenda tulicho kiona
The dress is backless,
Amerudi kwenye Odemba style yake kwa kunyoa upara ambao alienda nao hivohivo kwenye red carpet hii we cant complain she has a beautiful face na kichwa kizuri cha upara, Make up done by @kfryn974.20, we are so not feeling this make up labda kwa sababu ya upara au something ila tunaona haija fit hapa.
Siku ya pili katika The Wild Pear Tree Premiere alivaa a dress X jumpsuit outfit ya black na nude,
we would love it more as a jumsuit inge make more sense, siku hii ya pili aliamua kuvaa afro wig na her perfect calm makeup done by @lorealmakeup. siku hii alikuwa Styled by @vyck7 na @kimcyjl.
The cannes is all about making statement ukituuliza kama Miriam ame slay the Cannes mwaka huu tutachukua outfit ya kwanza we lovelove the dress tunatamani makeup ingekuwa vyema kidogo, outfit ya pili ipo okay haiongei much na the hair isn’t working to us so much is going on between the jumpsuit x dress and the afro wig haijatulia yet makeup nayo ni dark haja shine at all katika siku ya pili. Well she slayed day one and played day two.
Haya tupe maoni yako wewe umeonaje?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/did-miriam-odemba-slayed-or-played-at-cannes-film-festival/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/did-miriam-odemba-slayed-or-played-at-cannes-film-festival/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/did-miriam-odemba-slayed-or-played-at-cannes-film-festival/ […]