Tunaishi katika ulimwengu ambao kila kitu kina limit yake,ukifikia umri fulani basi kuna baadhi ya vitu vinapashwa uviache kwa maana umri wako wa kutumia hivyo vitu umepita, kuna vile ambavyo vina make sense na kuna vile ambavyo vinatufanya tufikirie mara mbili kweli usifanye kitu fulani sababu tu umekuwa mkubwa? Leo ambalo tumeliona ni kuhusu fashion na umri, does fashion knows age? Je kuna mitindo haifai ukifika umri fulani?
Kama ume notice kuna umri fulani ambao fashion huwa ina fade hasa pale unapo fikia uzee kuanzia miaka 50 kwenda mbele wengi hapa huwa wanajizuia kuvaa mavazi aina fulani kwa sababu tu labda umri umeenda au unaweza kusikia jamani si anawajukuu yule kwanini ana vaa vile? the question is why not?
Hivi karibuni tumeona watu wakiwa wanamwambia mama Diamond mavazi aliyoyavaa hayamfai umri umeshakwenda
lakini ni hao hao utawakuta kwa mama yao Kim Kardashian, Kris Jenner akiwa amevaa labda sawa au zaidi ya alivyovaa mama Diamond na wakaandika #fashiongoals au #agegoal unabaki na kuwaza kwanini mama Diamond aambiwe umri umeenda halafu Kris Jenner iwe tofauti?
- Watu wazima wana haki ya kuvunja sheria
Age can’t hold you down if you like it wear it as long as upo comfortable na ulichovaa, Fashion remains a valid and exciting form of self-expression at any age, Fashion explain who you really are and how you feel about yourself, kuna wale ambao huwa tunasema forever young it doesn’t matter una umri gani lakini moyoni unajisikia bado kijana, you have all the right to dress up as one. Moja ya kitu ambacho hufanya mtu aonekane amezeeka au kijana ni namna anavyo jiweka, so be youthful at heart & show it through your wardrobe.
- Safisha kabati lako na anza upya
inawezekana kuna pahala ulikosea zamani, anza upya kwa kuangalia kipi kilikuwa style yako na kipi kilikuwa off, makabati mengi ya watu wazima yamejaa mavazi ambayo hata hawayatumii they hold the clothes down to the memory lane, ili kuanza upya safisha kabati na gawa zile ambazo huzitumii na bakisha ambazo unaona zinaendana na wewe kwa sasa
Kuwa mtu mzima haimaanishi kuacha kujipenda na kutaka kuonekana vizuri, live your best life we only live once make the most of it.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 12769 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/does-fashion-knows-age/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/does-fashion-knows-age/ […]
water fountain and birds singing
water fountain and birds singing
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/does-fashion-knows-age/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/does-fashion-knows-age/ […]