Linapo kuja swala la interview ndio lile neno la “dress to impress” linapo kuja, japo kuwa vyeti vyako na elimu yako vina mata katika job interview lakini pia muonekano muhimu, una weza kuwa una Degree, Masters, PHD lakini kila ukienda kwenye job interview una kosa kazi ukiwa hujui sababu ni nini ina wezekana muonekano wako hauvutii wanao ku interview pata Tips hizi chache zinazo weza kukusaidia kupata kazi
something simple – unapo enda kwenye job interview jaribu kuwa simple uwezavyo, ni kweli utataka kuwa formal kuliko siku za kawaida lakini pia hutaki kuonekana too formal kuliko yule anaye kufanyia interview utamuogopesha vaa kitu simple kama ni suit au a blouse na pencil skirt will do

Blazer – kama umevaa blouse na skirt au suruali na ukaona bado huonekani as formal as you want ongezea blazer, blazer always do wonders katika mitoko ya ofisini na mara nyingi unapo vaa blazer unaonekana formal na professional
Suit Separates – sio lazima uvae suit zinazo fanana jaribu kuvaa suit ambazo ni tofauti labda unaweza kuchukua blazer ya suit nyeupe na skirt au suruali kutoka kwenye suit nyeusi na kuvaa, japo kuwa si lazima sana kuvaa suit katika job interview lakini pia ina semekana ukivaa suit mara nyingi una pewa first priority kuliko ambae ame vaa plain cloth {kuwa muangalifu na uchaguzi wa rangi}
Heels – hata kama si mpenzi wa heels jaribu ku sacrifice masaa machache na uzivae katika job interview, japo kuwa flats na wedges zipo comfortable na pia sio mbaya ukivaa lakini heels zina kupa strong first impression na hii itasaidia ku boost marks katika job interview yako
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/dondoo-za-mavazi-katika-job-interview/ […]