Inawezekana huwa unajiwekea malengo lakini kuna certain life unaishi na inasababisha usifikie malengo yako. Japo tunaambiwa fake it till you make it hii haimaanishi tufanye vitu vilivyo juu ya uwezo wetu pale ambapo hatuna, tumeona kwasasa wadada wengi wanajaribu kuonyesha maisha fulani mtandaoni wasiokuwa nayo na hii imekuwa kubwa sana kila mmoja nataka soft life na kuonekana kwanamna fulani.
Wengi tunawaona na expensive handbags, designer shoes & clothes, madini etc lakini inawezekana kwa ground mambo ni tofauti, hapa hatusemeni usinunue vitu ghali kama unawezo navyo nunua lakini kama huna ni vyema ukaangalia bigger picture wanasema if you can’t buy it twice you can’t afford it.
Na inawezekana ukapendeza ukiwa umevaa mitumba kuliko ukivaa mavazi ya bei ghali leo kwenye finacial tip tunakwambia ” usitumie zaidi ya unachokipata haswa kama matumizi hayo yanalenga vitu vya urembo ili kuwafurahisha WENGINE. Ikiwa unaishi kwa bajet ndogo.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…