Hakuna kitu kinasumbua kichwa kama kuchagua vazi la kuvaa hasa katika mitoko ya usiku, sasa imagine unamtoko wa usiku halafu umjamzito hapo ndipo kichwa kitakapo waka moto na kuamua usiende kabisa kwenye huo mtoko.
Leo tumewakumbuka mama vijacho tunawaleta mavazi ambayo unaweza kuvaa ukiwa unatoka usiku na ideas tumetoa kwa mjasiriamali na aliyekuwa video vixen Vera Sidika kutoka Kenya. Mavazi ya Vera sio ya night out za kwenda movies hapana hapa inawezekana umealikwa birthday party, labda kwenda kwenye harusi etc.
Well kama unaenda kwenye party za kawaida kama birthday, gender reveal parties, au bridal shower hii mionekano inaweza kukufaa zaidi

Kama unaenda kwenye harusi, red carpet events etc basi mavazi haya mitatu kutoka kwa Vera Sidika inaweza kuwa chaguo zuri pia

Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…