Last week hakukuwa na mambo mengi, hakukuwa na event kubwa za red carpet lakini hii haikuzuia baadhi ya watu maarufu ku-dress up na ku-show up kwenye event nyingine zinazowahusu. Tunae Ebuka, Elizabeth Michael, Perfect Crispin, Nandy na Diamond Platnumz tuone nani ali-serve nini
Perfect went all in na hii look, tumependa kila kitu, nywele, miwani, saa, color combination ya outfit, viatu lets say he took his time wakati anafanya choice ya hii look. Sio tu anaonekana stylish lakini pia smart, a celebrity look sio hizi trend look tulizozizoea he owned his style.

Elizabeth Michael In Emerald Green Dress, Lulu alikuwa kama wediing guest kwenye hii look and as usual she is that extra wedding guest, tumependa gauni na nywele combination and that makeup is flawless

Nandy alikuwa kwenye hii body corn black and white dress yenye bow, tumependa hii gauni iko chic, viatu pia vizuri lakini something about the hair ambayo hai-sit well with our fashion soul. Other factors anapata 8.5 for the outfit

We need to know Ebuka’s stylist sababu this guy can dress hatukumbuki lini aliharibu. we love this Suit alivyoivaa last week kwenye Big Brother Naija, Tumependa rangi na design ya suit and major key alert the hair style and beard so clean

Afromates let us know look ipi imekukosha sana kati ya hizo juu.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/elizabeth-michael-ebukaperfect-crispin-na-wengine-walivyo-serve-looks-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/elizabeth-michael-ebukaperfect-crispin-na-wengine-walivyo-serve-looks-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/elizabeth-michael-ebukaperfect-crispin-na-wengine-walivyo-serve-looks-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/elizabeth-michael-ebukaperfect-crispin-na-wengine-walivyo-serve-looks-last-week/ […]