Ilikuwa surprise kwetu sote, Jumanne hii muigizaji Elizabeth Michael ( Lulu) Na mpenzi wake Francis Ciza ( Majizzo ) wamefunga ndoa. Ilikuwa ni sherehe iliyo hudhuriwa na watu wachache.
Eliza alimtumia makeup artist Lavie Makeup, ambapo alimpa nude look, brow as usual zilikuwa on point na smokey eye’s.
Lakini pia alivaa head piece ambayo ndio ilikuwa talk of the social network, piece hii imetoka kwa mbunifu handmadebydafina ambae anatoka Kosovo.
Kuhusu gauni Elizabeth alivalishwa na mbunifu kutoka Pristina Nchini Kosovo, Vardini Sahiti. Mbunifu huyu amevalisha watu maarufu mbalimbali akiwepo Mrs. Carter ( Beyonce), Cardi B mwanamziki Fantasia na wengine wengi.
Gauni ilikuwa ball dress, ambayo ilikuwa na lace kifuani na pearls. Tumependa kwamba amekuwa tofauti, sote tunajua Elizabeth ni slayer kwenye harusi au event za watu ameshavaa sana nguo fupi na nguva, hii ball dress ilikuwa perfect kufanya awe tofauti na nguo zote alizowahi kuvaa zamani
Wakati bwana harusi Majizzo yeye alivalishwa Tuxido nyeusi kutoka kwa mbunifu kutoka Tanzania Mtani Bespoke.
Tunawatakia ndoa yenye mafanikio na furaha, well tupe maoni kuhusu mavazi yao hapo chini.
Head piece @handmadebydafina
Mua @laviemakeup
Dress @valdrinsahitiofficial
Stylist @elisha.red.label
Bouquet @megyflowers
Photo @clemence_photography @six_rango
@aman_martins @iamsaixl @msuva_ @jaym_tz
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…