Elle ni moja kati ya magazeti ya fashion makubwa Duniani, kama ambavyo magazeti mengine makubwa huwa yana branch Nchi tofauti tofauti basi na Elle pia wanazo branch zao ikiwepo hii moja wapo ya Elle India hapa utapata habari za life style za duniani kote.
Well June mwaka huu tumepata blog mpya ya Africa inayoitwa Industrie Africa ambayo ina aim katika ku empower na ku-promote Local Africa Labels, Founder wa hii blog niDubai-based Georgia Bobley and Dar es Salaam-based Nisha Kanabar na wao ndio wame wapa Elle India hii list ya brand 5 kutoka Africa wanazo zipenda kwa sasa.
Moja kati ya brand zilizotajwa ipo ya kutoka Tanzania ambayo ni Sidai Designs ambao wao wana deal na kutengeneza accesory za shanga za kimasai, brand hii hutumia wamama wa kimasai kutengeneza shanga hizi na inamilikiwa na Eszter Rabin na Rebecca Olivia Moore, Wanapatikana Arusha.
Kwetu ni big deal wao kutajwa ni moja ya step kwamba brand zetu zinakuwa noticed kwa kazi zao, Sidai Designs hongereni sana na we hope to see more good things from you
Kuwapata instagram wanatumia @SidaiDesigns lakini blog yao pia ni SidaiDesigns.com
Lakini brand nyingine ambazo zimetajwa pia ni AAKS brand kutoka Ghana ambapo mbunifu wake ni Akosua Afriyie-Kumi’s brand hii wao wanatengeneza bags za asili
ipo brand kutoka Kenya ambayo nayo ina tengeneza accessories ni kutoka kwa mbunifu Ami Doshi Shah’s
ipo brand kutoka Egypt iitwayo OKHTEIN ambayo nao wanadeal na kutengeneza mikoba, brand hii inaongozwa na wabunifu Aya na Mounaz Abdelraouf
Brand nyingine ya mwisho ni kutoka south africa ambayo hii inadeal na kubuni mavazi ya kiume, inamilikiwa na mbunifu Rich Mnisi
Congrats kwa wote waliotajwa Africa is proud ingia hapa kusoma zaidi 5 African fashion brands to love right now+
Photograph: Abbi Kemp Photography (Nisha Kanabar and Georgia Bobley)
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/elle-india-yataja-brand-5-za-fashion-wanazozipenda-kutoka-africa-ya-tanzania-ikiwepo/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/elle-india-yataja-brand-5-za-fashion-wanazozipenda-kutoka-africa-ya-tanzania-ikiwepo/ […]