Elizabeth Michael “Lulu” ame kuwa akisifiwa sana kutokana na kujua kuvaa “fashionista” iwe casual au ana enda sehemu na kwa kipindi hiki ame kuwa ana weka headlines kwa mitoko yake ya harusini.
na katika hio mitoko ya harusini ndipo hapo tulipo jifunza kitu kutoka kwake, kama ni mfuatiliaji utagundua kila mara Lulu akiwa ana sherehe ana vaa na kupendeza lakini ni lazima awe na clutch iliyo kuwa na urembo kama wa gold, silver etc.
hio ni accessory ambayo ina make statement kwenye mtoko wake mara nyingi huwa ana vaa urembo mdogo (hereni,cheni) ila hubeba hizi clutch na ni lazima tusema her clutch collection is fire.
Hii clutch ya silver na gold aliibeba mara mbili ya kwanza ndio hii na short dress ambapo ali match, viatu, nywele na hio clutch
namna ya pili alivaa gold na ehite dress ambapo akabeba na hii clutch ku match
Clutch ya pili ni embellished clutch ambayo ina weusi na shanga za gold na nyeupe hii alivalia na red little dress na viatu vyekundu. ilikua ni perfect choice kwa kweli
A Silver Clutch ina endana na rangi yoyote una weza kuona hapo chini namna tatu lulu ame style clutch za silver
hii ni recently lulu alivaa gauni nyeupe yenye maua ya pink ambapo aliweka statement ya bold pink lipstick na clutch ya pink. We love how ana stick na rangi moja ili kuto ku mix vitu sana kuwa na vitu vichache vinavyo weza kufanya muonekano wako uwe extra ordinary kama hivyo kubeba clutch, hair style nzuri, statement chain etc
Tupe maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Twitter – afroswaggatz
Facebook – afroswaggamag
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…