
Irfan RIzwanali -Ray C amekuwa legend katika tasnia ya muziki, na nimekuwa nikipenda kazi zake tangu ninavyoweza kukumbuka. Tulivyopanga kupiga hizi picha, nilitaka kuonesha utu wake na shauku yake, na kumuonesha tofauti yake kwa njia tofauti na vile watu wanavyomtathmini. Timu yangu na mimi tulifanya utafiti kidogo na kukuta kwamba alikuwa ni mfuasi mkubwa wa Bollywood, hivyo tukaja na dhana ya Indo / African Fusion. Yaani kuchanganya Uhindi na Uafrika. Tukamtafutia mavazi mazuri na kumwambia jinsi ya kukaa katika picha ili kuonesha jinsi alivyo Diva.

Irfan Rizwanali – Tulifanya majadiliano kadhaa na mikakati juu ya kurudi kwake na tupo katika mipango hiyo, ambayo siwezi kuzungumzia kwa sasa, ni kweli anarudi katika tasnia ya muziki baada ya muda mrefu na sisi tupo kuhakikisha kwamba anarudi kwa mlipuko. Nimesikiliza albamu yake mpya na naweza kusema kwa kujiamini kwamba mashabiki hawatokatwa tamaa.

Afroswagga – Kama stylist tunauanza mwaka 2017 tutegemee nini je atakuwa huyu huyu Ray C au kuna wengi kutoka kwako tuwategemee na lolote la kumalizia kwa ajili ya watakao soma hii interview.

Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fahamu-kuhusu-mbunifu-aliye-mpa-ray-c-muonekano-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fahamu-kuhusu-mbunifu-aliye-mpa-ray-c-muonekano-mpya/ […]