Anaitwa Liliane Masuka ni Media Personality wengi tunamjua kutokana na kipindi chake cha Fashion & Lifestyle kinacho onyeshwa kila Jumatano saa Tatu Kamili Usiku Clouds Tv. Ni moja kati ya vipindi vya fashion tunavyo vipenda hapa Tanzania na Nje kwa sababu mbali mbali lakini mbili kuu ni kwamba tuna produce kipindi lakini pia kwa sababu ni kipindi cha tofauti ukiangalia na vingi vilivyopo Tanzania, Well kujua kwa nini Tune In kila jumatano upate kujionea.
Liliane ni fashion ambassador kwa kuliona hilo na maswali mengi tuliyo yapata kutoka kwenu tumeona tufanye nae mahojiano na kuuliza yale maswali ambayo tunayapata kutoka kwenu ni matumaini yetu mtapata mawili matatu kutoka kwake.
Afroswagga – Fashion ina maanisha nini kwako?
Liliane – Fashion kwangu ni maisha na ,furaha , kuona watu wame vaa wamependeza ,new trendy ,watu kutoka kwenye comforting zone zao ,kuona watu wanajaribu kufanya tofauti na ilivyozoeleka , watu kuweza kuongea bila vificho juu ya aina Fulani ya mavazi ,Viatu ,Nywele ,make up n.kAfroswagga – Ukiwa kwenye manunuzi ya mavazi mtumba au dukani vitu gani hasa huwa unaangalia? Eg Quality, Trends etc
Liliane – Pretty much naangalia rangi quality na style ,Mimi sio mtu wa kufata trends Sana .
Afroswagga – a style tip ambayo you live by (unaitumia mara nyingi).
Afroswagga – Tutajie pieces tatu ambazo kwako ni muhimu kuwa nazo kwenye kabati lako
Afroswagga -Kama ungepewa nafasi ya kuchagua kabati la mtu yoyote maarufu ungechagua kuchukua kabati la nani?
Afroswagga – Upo kiasili (natural) kuanzia ngozi adi nywele unaweza kutuambia tips unazo tumia kufanya ngozi yako iwe nyororo lakini asili na tip yoyote muhimu kwa natural hair
Afroswagga- Tutajie fashion trend ambayo huwezi kuijaribu hata siku moja.
Liliane – make up kit ,wallet ,na note book (hahahaha hah najua I sound so general )
Afroswagga – Kama fashion ambassador unajisikiaje ukiona msanii mkubwa ame haribu kuvaa katika mavazi?
Liliane – naonaga kama chuki binafsi kutotaka fashion industry ikue ,cut me some slack how do you even look ugly na stylists plus designers walivyo wengi .
Afroswagga – Tip 3 muhimu za kumwambia msomaji ambazo anaweza kufanya aonekane stylish kila siku.
Liliane – hakikisha you always accessories
good shoes ni kila kitu
make sure your hair is on point ,nywele inaeza haribu muonekano wako mzima
usikose storm kila jumatano usiku on clouds TV
Ni matumaini yetu umepata kuambulia japo mawili matatu kutoka kwa Liliane Kuhusu Fashion & Style Unaweza Kumfollow Instagram @lilianemasuka lakini pia usisahau kusoma tips nyingine kutoka kwa fashion blogger & stylist Lehautestyle Hapa
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-beuty-tips-kutoka-kwa-ms-storm-liliane-masuka/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-beuty-tips-kutoka-kwa-ms-storm-liliane-masuka/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-beuty-tips-kutoka-kwa-ms-storm-liliane-masuka/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-beuty-tips-kutoka-kwa-ms-storm-liliane-masuka/ […]