Tulivyoona fashion blogger kutoka Tanzania amebeba hii Petite Boite Chapeau Louis Vuitton’s iconic hatbox bag tukakukumbuka wimbo wa P Square chop my money, The Petite Boite Chapeau Louis Vuitton’s iconic hatbox inauzwa $4200 sawa na shillingi 9,634,380 za ki-Tanzania kama hii bag ni original.
Well we all know kuna tofauti ya bei kati ya Original, Copy & Fake brand staffs,The Petite Boite Chapeau Louis Vuitton’s iconic hatbox bag ilionekana mara ya kwanza katika runway ya Louis Vuitton Cruise 2018 iliyofanyika Tokyo Japan, toka itoke imeonekana kuvutia watu maarufu mbalimbali wakiwepo fashion bloggers na fashion influencers moja kati ya watu tuliowaona wamebeba bag hii ni pamoja na
Sarah Langa Mackay fashion blogger & influencer kutoka South Africa yeye ameonekana kuibeba bag yake hii mara nyingi lakini hizi ndizo mara mbili ambazo sisi tumependa zaidi namna alivyo style na mavazi yake
Hapa akiwa amebeba bag hii na off white outfit huku akiwa amemalizia na knee boots na statement earrings, that’s how you carry a $4,200/ bag stylish.
Hapa akiwa in animal print outfit, alikuwa ame attend fashion show, we love jinsi ame mix prints na alivyo zi-style na ka-bag.
Kama ambavyo ilivyo kuwa kwa Sarah, blogger kutoka Tanzania Lavidoz nae amestyle bag yake hii mara nyingi lakini kwake pia tumeona hizi mbili ambazo zimetuvutia
Hapa akiwa amebeba bag hii huku amevalia all black outfit na kumalizia na red statement trench coat.
Wakati hapa akiwa amevalia snake print wrap dress na kumalizia na nude mules na miwani.
Let us know your opinion would you make such an investment katika mkoba?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 56034 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-bloggers-lavidoz-and-sarah-langa-chopped-4200-for-the-petite-boite-chapeau-louis-vuittons-hatbox-bag/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-bloggers-lavidoz-and-sarah-langa-chopped-4200-for-the-petite-boite-chapeau-louis-vuittons-hatbox-bag/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-bloggers-lavidoz-and-sarah-langa-chopped-4200-for-the-petite-boite-chapeau-louis-vuittons-hatbox-bag/ […]