Katika mitindo kuna vitu vingi ambavyo huwa tuna fanya bila kukusudia lakini kumbe kipo wrong, Fashion ni pana sana katika dunia kila mtu ana jicho lake la jinsi anavyo ona kitu ndio maana wengi wetu tuna taste tofauti linapo kuja swala la mitindo kuna mtu ana weza kukwambia mara ya mwisho kuvaa heels ni alipo pokea kipaimara, kwanini?ata kwambia its not my thing lakini kuna wengine flats walizo nazo ni ndala tu za kuogea, Watu tuna tofautiana ila kuna common fashion do and dont’s ambazo hizo kila mtu zina apply kwake
- Kuvaa kitu kisicho kutosha – Hii ni BIG NO katika ulimwengu wa fashion kama kitu hakikutoshi achana nacho eidha kiwe kikubwa au kidogo, at least kikubwa kama ni nguo una weza kubana lakini kama kiatu tafadhali usijaribu kununua kikubwa kuweka makaratasi mbele its so off fashion na kama kidogo kiache tu you won’t wear them na uki force kitakuumiza tu miguu
- Kuvaa Kitu Kwa Sababu Tu Kipo On trend – Sote tuna penda kwenda na wakati na sote tuna penda trend lakini si lazima uvae iko kitu kama hakiendani na wewe if it doesn’t go with your flaws achana nacho its not for you of-course ni trend lakini haito kuwa hapo milele na sio kwamba utakufa usipo vaa jifunze ku let it go
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 87805 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-do-donts-1/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-do-donts-1/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-do-donts-1/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-do-donts-1/ […]