We all have days ambazo unataka kuwa free kuvaa tight pants, leggings na kushow off miili yetu, some huwa wanaamua kutoka hivyo hivyo lakini wanakuwa very uncomfortable na wengine wanaamua kuacha kuvaa kwa sababu ya maungio yako kujichora vibaya hasa mbele, well hizi ndizo njia tatu rahisi za kuweza kufix hili tatizo
- Toilet Paper – Zungusha toilet paper katika vidole vyako vitatu vya kati inategemea ukubwa wa toilet paper unategemea na ukubwa wa tatizo lako kisha baada ya hapo ingiza toilet paper katika jeans yako,leggins au short pant hakikisha una fix vizuri ili isitune tune na kukutia aibu, pia itoe haraka baada ya kurudi nyumbani au kuwa una badilisha mara kwa mara
- pant liners/pad – hii ni njia rahisi zaidi kama kawaida vaa pad yako kisha vaa suruali yako kama unavaa jeans inabidi uvae pad nene kidogo na kama ni leggings au nguo yoyote nyepesi basi medium pad au pant liners ni chaguo bora zaidi
hope tumeweza kukusaidia na njia hizi mbili rahisi kabisa kutatua tatizo lako
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…