Cut out, backless dresses zinaweza kuva very trick katika kuzivaa, huko kwa wenzetu ni machaguo yao makubwa hasa kwenye red carpet
lakini huku kwetu yanatengwa sana labda kwa sababu tunakimbia kutokuvaa bra (sidiria) na pia kama utakosea kwa kuvaa bra ambayo sio sahihi unakuwa ume commit fashion crime, as we all know unapo vaa side cut au backless dress basi pale palipo achwa wazi pabaki wazi na sio mkanda au sehemu ya sidiria ionekane haileti taswira nzuri na ina haribu kabisa muonekano wa gauni.
Tumeliona hili kwa msanii na sasa mtangazajiĀ alice_kella, alipokuwa kwenye kipindi chake alivaa hii side cut out yellow dress ambayo ni fupi, kwa bahati mbaya au hakujua nini cha kuvalia ndani ya hili gauni akavalia bra nyeusi ambayo ilitokea kwa pembeni
Alice ame commit fashion crime and we are her to fix itĀ
Ukivaa gauni kama hizi kuna Bra’s ambazo ni chaguo bora kabisa za kuvalia kama huwezi kuvaa bila brazia zinaitwa strapless backless bra, ni brazia ambazo hazina mikanda wa na nyuma zipo wazi nyingi huwa na gundi pembeni au kwenye maziwa ili kusaidia kuganda au kukaa vizuri ili isianguke
hii ni nzuri pia kama unavaa nguo ambayo mbele ina deep V
hizi pia zinafaa kuvalia side cuts au backless dress
hizi zimetrend sana na zenyewe ni chaguo bora kama huamini zenye gundi hizi zinakamba unafunga mwenyewe
we hope next time ukivaa hili gauni tena hutofanya hii mistake lakini pia ni matumaini yetu tumekusaidia msomaji pia namna ya kuvaa haya magauni, thanks us later
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-fix-how-to-wear-side-cutout-dress-without-the-bra-saying-hi-to-us/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-fix-how-to-wear-side-cutout-dress-without-the-bra-saying-hi-to-us/ […]