Well week ya kwanza ya mwezi wa pili imeisha na tunaweza kusema ni week ambayo imekuwa na fashion drama toka mwaka uanze. Kuanzia kwa mwanamitindo Hamisa Mobetto kuwa spotted akiwa amevaa fake dior bag, Dulla Makabila na superb facebeat huku akimshinda mwanadada Lulu Diva katika sekta hio. Well lets dig in kwenye hizi stories.
Mwanamitindo Hamisa Mobetto alikuwa katika headlines za mitindo kwa week iliyopita kutokana na kubeba kwake hii bag ambayo ilitakiwa kuwa Dior lakini hii ni Doir. As we all know wengi huwa tunategemea watu maarufu kuwa wanavaa vitu OG lakini kwetu au tuseme Nchi zetu za Africa hii ni kawaida kabisa. japo tungependa wajitahidi hata kama kitu kikiwa basi kisiwe too obvious kama hii its an embarrassment.

Mwingine aliyeingia katika headlines ni mwanamuziki Lulu Diva, ambae yeye alikuwa katika headlines kutoka na hii makeup yake, facebeat ilikuwa clean, brows on point, smokey eye nzuri na lipstick nzuri lakini hivi vyote haviendi pamoja. She looked too much ni kama a color book ya mtoto too shouting.

Mwanamuziki Dulla Makabila was on everybody mouth baada ya kuachia picha akiwa amevalia wig na kupaka makeup. Imekuja kugundulika kwamba ni cover ya wimbo wake mpya uitwao Ningekuwa Demu. Dulla alipakwa makeup yake na @zuhuraty_beautymakeup na tunaweza kusema Zuhura haja disappoint, This facebeat is clean.

well afromates tuambie maoni yako kuhusu hizi highlights tatu.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…