Mwaka umekaribia kuisha, tuna masaa kadhaa kabla hatujaanza mwaka mpya, sisi huwa tunapenda kuwakumbusha malengo ya kujiwekea ifikapo mwaka mwingine hasa katika swala zima la mitindo. Hii inaweza kukusaidia ku-improve muonekano wako lakini pia kukusaidia katika uhifadhi ya pesa.
Mwaka jana tuliandika malengo kumi, mwaka huu tunahaya malengo machache tu.
Malengo Kumi (10) Ya Kujiwekea Kwa Ajili Ya Kuanza Mwaka Mpya Kwa Umaridadi
- Jifunze kukubali mwili wako
Kama kunakitu ambacho tumejifunza kutokana na blogging ni kwamba watu wengi hawajiamini na miili yao. Pale tunapoandikia kuhusu mavazi fulani wengi husema hio inawapenda wenye aina fulani ya miili, au mimi nina tumbo kubwa hakinifai, tungependa mwaka huu wenye self doubt na miili yenu mjifunze kuipenda, hii itakupa confidence lakini pia kukufanya uvae mavazi yanayoendana na wewe.
Tatizo Si Mwili Wako Bali Ni Fikra Zako Juu Ya Mwili Wako

- Huitaji Mavazi Mapya.
Yes usipoteze muda wako kwa kununua mavazi mapya kwa mara, unachotakiwa kufanya ni kuwa m’bunifu kwa yale ambayo uliyokuwa nayo . Revamp, Recycle kile ulichonacho na create new outfit.

- Invest In Real Statement Pieces
Ukiwa na vitu viwili au vitatu ambavyo vina quality nzuri na unaweza kuvirudia mara nyingi ni kitu kizuri, kila siku unaonekana umevaa kitu quality na fashionable. Achana na kununua vitu ambavyo vina quality mbaya na vingi kuwa na vitu vichache vinavyo make statement na quality yake ni nzuri.
- Don’t Be Boring
Kiatu,shirt na suruali hiyo ni boring outfit jaribu kuongezea vitu vingine kama pochi, hereni, saa, koti, mkanda, mkufu n.k & stand out.

Ni matumaini yetu 2020 utakuwa fashionable year kwetu sote.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 22520 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-resolution-kwa-ajili-ya-mwaka-2020/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-resolution-kwa-ajili-ya-mwaka-2020/ […]