Ni msimu mwingine wa Fiesta nasi mara paaaaap tumejiandaa kutupia jicho letu kwa wasanii na watakavyovalia stejini.
Well, Jumamosi hii kilisomeka Arusha ambapo fiesta ilizinduliwa mkoani humo na macho yetu yalikuwa kuaangalia wasanii na kuchambua nani alitupia na nani aliboronga.
Kwa wasichana, wasanii Vanessa Mdee, Maua Sama na Lulu diva walitop our best dressed female artists. Mavazi yaliyovaliwa yaliendana na tukio as they slayed for the turn up. Pia stylists including Noel walihusika katika hili hivyo it was professional.
Vanessa
Maua Sama, Dressed By Noel Gio
Lulu diva
Kwa msanii Feza Kessy, well twaweza sema her look ilikuwa too plain. Hakuweka nguvu zaidi on her stage costumes hivyo alionekana kawaida sana.
Then Nandy aliongoza our worst dressed as there was too much katika uvaaji wake. She had jeans shorts ambayo ilikuwa paired na vitu vingi sana, stokings, boots, denim all over. Angevipunguza kidogo then angeweza kupendeza as less is more always.
With the guys, wasanii Juma Jux, Alikiba na Nikki wa Pili kept it simple lakini walivutia na kuingia among the best dressed. Wasanii hawa wamekuwa always wakiwa na mionekano simple lakini huvutia na pia huwa classy.
Jux
Alikiba
Nikki Wa Pili
Pia wasanii Dogo Janja na Young Dee walikuwa among waliopendeza. Dogo Janja alivalishwa na J J Tailors toka Dar ambapo muonekano wake ulikuwa wa kipekee in his African prints.
Dogo Janja
Pia Young Dee akivalishwa na stylist Micky, aliweza ,kupendeza, akiondokana ana kuvaa over sizes na rainbow colours toka kwa Q Boy. The haor ndo the only thing ilomkosesha full points maana ni a big NO for him, zilivyobanwa.
Imeandikwa na @willibard_jr
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-review-fiesta-2017-arusha/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-review-fiesta-2017-arusha/ […]