Tunamjua Ay A.K.A Mzee wa Commercial kama mwanamuziki nguli wa bongo flava kutoka Tanzania ambae chat yake katika muziki huwaga haishuki ana badilika badilika kama kinyonga. Ay au Ambwene Yesaya ni mtu maarufu sana na ukiwa maarufu hatuto kuangalia kama mwanamuziki tu bali hata appearance/muonekeno wako pia tutauangalia tukianzia miaka ya Tisini ndio hivi jinsi Ay anavyo badilika katika game ya mavazi,
Ay na Fa hapa fashion ilikua mi suruali mipana na t-shirt kubwa ki hip hop zaidi lakini wao katika zile t-shirt wakaamua ku modify na kuweka picha zao.
Ay katika matching outfits yaani nyekundu kila kitu hadi saa
mmh hii hatujui ni style gani ila sio mbaya saaana kwa miaka hio
hii ki Neyo nayo ilipamba moto karibu watu wote walikua wakivaa shati ndani nje kijisweta waki match iko kijisweta na kofia au saa, nice.
ay sasa suits na nani na nini katoka mbali mno hadi kufikia hapa safi sana ay.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-revolution-tbt-na-ay-mzee-wa-commercial/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-revolution-tbt-na-ay-mzee-wa-commercial/ […]