Leo kwenye indusrty talk tunaongelea kuhusu makeup artist na hair stylist kutoka Tanzania, hawa watu ni marketing genius mnaweza kujiuliza kwanini, Makeup artist na hair stylist huwa ni watu wa kwanza kumpokea upcoming yoyote anayechipukia katika sanaa na kubadilisha muonekano wake kabla hajaonekana na fashion stylist’s ukiangalia watu kama Gigy Money, Amber Lulu,Kim Nana wote wanamionekano mizuri ya nywele na makeup.
Ukija kwenye swala la mavazi bado wana jikongoja this made us wonder stylist Tanzania hamuoni hawa watu? kama wenzenu hair stylist na makeup artist wanaweza kuwahi tenda ninyi mnachelewa nini?
Inawezekana wasiweze kuwalipa lakini definitely wanaweza kuwaletea wateja hatutaki kuamini kwamba makeup artist na hair stylist wanafanya hivi bure bila kupata kitu in return, tunadhani stylist wetu mnalala sana na hii ndio inapelekea wasanii wetu Tanzania kuonekana hawajui kuvaa, kama mngekuwa mnatumia mbinu ambazo makeup artist na hair stylist wanazo zifaanya tunahakika sasa hivi tungekuwa level nyingine.
only in Tanzania unakuta celebrity ana makeup nzuri usoni, nywele nzuri lakini mavazi ya ajabu, today we celebrate the hard work of makeup artist na hair stylist kuhakikisha watu maarufu wetu wanapata muonekano mzuri, fashion stylist tungeomba muamke popote mlipo na muwape hawa watu muonekano mzuri, the industry need you.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-stylist-mjifunze-kutoka-kwa-makeup-artist-hair-stylist/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-stylist-mjifunze-kutoka-kwa-makeup-artist-hair-stylist/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-stylist-mjifunze-kutoka-kwa-makeup-artist-hair-stylist/ […]