Kupendeza kila siku kuna hitaji juhudi, kujua nini una pendeza ukivaa, uvaaje tunaweza kusema looking good is a work of art. Na hata kama umpenzi vipi wa fashion kuna siku ambazo unaamkia upande wa kushoto hujisikii kabisa ku dress up. Je unajua kwamba unaweza ukawa hujavaa kivile lakini ukaonekana umependeza mno kwa hizi simple tips?
Piga pasi – unaweza ukahisi ni kichekesho vipi kupiga pasi kuna weza kukufanya uwe stylish? ukiwa katika zile lazy days za kuto kujisikia kuvaa sana nyoosha nguo zako vizuri hata kama utakuwa umevaa jeans na t shirt a good ironing always makes you look smart.
Chana/suka vizuri nywele – yes kuna wakati unaweza kusikia fashionista’s wanasema outfit mbaya lakini nywele zimependeza with a good hair you can get over anything
Rangi ya kucha & lipstick – bold lipstick na kupaka rangi kucha ni chaguo bora zaidi pale unapo hisi hujisikii kuvaa sana ni moja kati ya vitu vinavyo ng’aza muonekano wako
Sneakers & sun glasses – hii inatumiwa zaidi na watu maarufu, bloggers na fashionistas mbali mbali ni simple tip unaweza kuvalia na skirt, suruali, pensi chochote
matumaini yetu tumeweza kukusaidia lakini pia unaweza kutuambia wewe huwa unatumia njia ipi siku ambayo hujisikii ku dress up
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…