“Sina Cha Kuvaa” hili neno linatumika karibu na kila mwanamke ifikapo asubuhi anataka kwenda kazini,wakati wa mitoko nakadhalika, lakini cha kushagaza makabati huwa yamejaa nguo mbali mbali lakini bado huwa tunakosa cha kuvaa (confusing right?). Wengi huwa tunanua nguo nyingi kila siku kwa kudhani tu hatuna nguo za kutosha maana kila mara tunakosa cha kuvaa, Calm down nguo unazo za kutosha unahitaji kujua tips hizi chache za nini cha kufanya unapo hisi huna cha kuvaa.
- Vaa nguo nyeusi full – wanasema “when in doupt wear black” na “you never go wrong with black” lakini pia neutral color ni angi nzuri pale unapo hisi huna cha kuvaa rangi kama nyeusi, beige,nyeupe ni chaguo zuri linapo kuja swala la kukosa cha kuvaa
- Basic white t-shirt na flat shoes – ni chaguo lingine zuri linalo weza kukusaidia pale unapo kwama kujua uvae nini kitu kizuri kuhusu white tee na flat shoes unaweza kustyle na chochote suruali,skirt au kaptura
- Gauni X Sneakers – hili ni chaguo zuri pale unapo kosa cha kuvaa na hujisikii ku match na kumix nguo kimbilia gauni na sneakers kama ni kazini unaweza kutupia na blazer.
- White Shirt & Heels – always does the trick hapa pia unaweza kuvalia skirt, suruali au kaptura ni rahisi lakini pia chic
- Oversized Denim Jacket – pale unapo hisi mtoko wako ume bore ongezea denim jacket kwa juu
- Colorful Coats – hii itakusaidia kuupa mtoko wako muonekano mpya hasa kama umevaa mavazi ya rangi zilizo fifia well when on a bad outfit days pop it with some color.
- Accessorize – chukua attention ya mavazi na weka katika urembo, vaa hereni au mikufu inayo shout itakayo wafanya watu waache ku-concetrate na mavazi yako na kuwa wana concentrate na accessory zako
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 45698 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-tips-zinazoweza-kukusaidia-unapo-kuwa-huna-cha-kuvaa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-tips-zinazoweza-kukusaidia-unapo-kuwa-huna-cha-kuvaa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-tips-zinazoweza-kukusaidia-unapo-kuwa-huna-cha-kuvaa/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-tips-zinazoweza-kukusaidia-unapo-kuwa-huna-cha-kuvaa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashion-tips-zinazoweza-kukusaidia-unapo-kuwa-huna-cha-kuvaa/ […]