Ni Christmas season na leo ndio tunasherekea sikukuu hii, muda huu mwingi huwa tunatumia kupumzika na ndugu, jamaa na marafiki. Sisi Team Afroswagga tunakutakia heri ya sikukuu ya Christamas kwako pamoja na familia yako ni matumaini yetu mtafutahia sikukuu hii kwa namna moja au nyingine.
Lakini pia watu maarufu mbalimbali wametuma salamu za kuwatakia sikukuu njema mashabiki zao na hizi ni chache kati ya ambazo tumeziona zikatuvutia
Mwanamitindo kutoka Tanzania Millen Magese amepost picha ya mtoto wake Kairo ikiwa na theme ya nyeupe na dhahabu huku pembeni akiwa amemuwekea kofia nyekundu na nyeuepe (santa hat) how cute is the picture though?
Stylist Mickyson Amos na yeye amepost hii picture ya mwanae na yeye akiwa in Santa Claus outfit, too cute
- One On One na Celebrity Stylist Mickyson Amos
Mwanamitindo Tausi Likokola posed with her children for Christmas picture,wakiwa wamevalia blue, white & red outfits, love how simple yet so festival they look
Entrepreneur & fashionable mom Zarina Hassan amepost hii picture akiwa na familia yake kuwatakia mashabiki wake Sikukuu Njema & we have to say “its perfect”
Fashionista Sishikiki slayed in this chic outfit akiwa amesimama karibu kabisa na Christmas tree akiwa anawatakia mashabiki wake sikukuu njema, How perfect is her outfit? she completed the look with a gorgeous smile
Fashionista kutoka Uganda Bettina Tinnah she is in her holiday spirit alipost hii picture akiwa kitandani amevalia bath robe nyeupe na festival socks akiwa amemalizia muonekano wake na pretty makeup na layering accessories. Love it.
Well Have A Merry Christmas & A Very Happy New Year
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…