Imekuwa kawaida ya kampuni za fast fashion ku-copy design za wabunifu wakubwa na kuziuza kwa bei ya chini, moja ya makampuni yanayasifika kwa kufanya hivi ni Fashionnova.
Watu maarufu mbalimbali wamekuwa wakilalamikia hii tabia ya brand hii mmoja ya watu maarufu ambao walijitokeza na kuwasema hadharani ni mwanadada Kim Kardashian.

Safari hii Italian luxury fashion companyย Versace imeshtaki brand ya Fashionnova kwa ku-copy iconic dress kutoka kwao ambayo ilivaliwa na mwanadada Jennifer Lopez katika Tuzo za Grammy mwaka 2000.

The dress is so iconic sababu mpaka kesho inashika chat ya best dress red carpet looks, September mwaka huu hii gauni ilikuwa inafikisha miaka 20, ambapo Versace walimpandisha J Lo katika show yao akiwa amevalia hili gauni, Iconic.

Kama ilivyoada ya Fashionnova wakatumia nafasi na ku-copy gauni hili na kuliuza katika website zao, well Versace said you can’t disrespect its iconic dress like that na wameamua kuwafikisha mahakamani.

“Fashion Nova’s infringing apparel is plainly a deliberate effort to exploit the popularity and renown of Versace’s signature designs, and to trade on Versace’s valuable goodwill and business reputation in order to drive profits and sales to line Fashion Nova’s pockets,” Versace’s lawyers wrote in a lawsuit filed in the central district court of California on Tuesday.
The court documents included a series of side-by-side photos, which they used to highlight the alleged copyright issues.
Well Afromates mnadhani ni sawa Fashionova wanachokifanya au ni sawa? tuambie kupitia box letu la comment hapo chini
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda seโฆ https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fashionnova-yashtakiwa-na-versace-kwa-kucopy-j-los-iconic-jungle-print-dress/ […]