Mtoto wa billionaire kutoka Nigeria Aiko Dangote ameolewa, Kama tunavyojua wenzetu Nigeria wanavyo penda kupania katika sherehe zao na huyu ni mtoto wa bilionea tukajua atakua extra kiasi fulani lakini Fatima ametushangaza kwa kuamua kuwa simple (ametushangaza in a good way), wakati mwingine less is more na hapa ndicho alicho kifanya Fatima.
Fatima alivaa a white dress kutoka kwa mbunifu kutoka Nigeria, yess Nigeria hajaenda Dubai wala China kutafuta a wedding dress ametumia local designer aitwae @deolasagoeofficial
Alivaa all white dress ambayo mbunifu wake aliitaja kama “Details on an All White Trumpet Silhouette dress with embellished creeping flower elements for #DeolaBrideFatima Dangote” Gauni lake lilikuwa simple with nice details
Makeup yake ilikuwa on point simple but classic, pia kutokana na Dini yake Fatima alivaa kiremba cheupe ambacho kilikuwa na details ya ua kwa mbele ambacho kilifanya kiwe unique. She wore nice accessories zilizo match na gauni yake (we wonder if those accessories are white gold or diamond’s)
pia alivaa a champnage dress kutoka kwa mbunifu huyo huyo, mbunifu alitupa little details katika gauni hilo ambapo ameandika “Fatima Dangote in Champagne A-line dress with tulle embellished corsage”
ilikuwa na a long feather detail veil
Well we love the dresses
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…