Sophia Webster Butterfly Heels si ingizo jipya la kiatu sokoni, vipo toka mwaka 2013 lakini when its a good, shoe it is a good shoe hakito toka nje ya style,
viatu hivi tumeviona sana mwaka 2014-2015 mwaka jana vika pumzika lakini inaonekana mwaka huu vimerudi lakini kurudi kwake ni kwetu sisi huku wa- Africa tumeona Fashionista’s watatu wakiwa wame virock nao ni Funmi Alaiyemola, Fauzia Abdulkadir, na Mwamvita Makamba
Funmi Alaiyemola A.K.A funminewyork, Ni Nigerian Super Model ambae ana slay kinoma noma, ameonekana akiwa amevalia viatu hivi na floral dress yenye rangi ya blue na side handbag ya blue
Fauzia Abdulkadir Fawwie_For_you A.K.A Ni makeup artist na fashionista kutoka Kenya, yeye ameonekana kuvaa viatu hivi mara kadhaa vikiwa katika style tofauti tofauti (seems like anavyo pair nyingi) ukikipenda nunua in every color right?
Fauzia akiwa amevaa black & Gold Sophia Webster Heels
Fauzia akiwa amevalia color ful Sophia Webster Chiara Butterfly Heels
Mwisho ni m-Tanzania Mwamvita Makamba moja ya slayers tunao waaminia Nchini yeye ameonekana akiwa amevalia viatu hivi vya rangi ya gold
Vinauzwa kuanzi Eur 450, unaweza kununua Hapa , kujua kiatu gani kingine kina trend click hapa
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 96128 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fawwie-funmi-mwamvita-makamba-rocking-sophia-webster-butterfly-heels/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fawwie-funmi-mwamvita-makamba-rocking-sophia-webster-butterfly-heels/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fawwie-funmi-mwamvita-makamba-rocking-sophia-webster-butterfly-heels/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 37663 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/fawwie-funmi-mwamvita-makamba-rocking-sophia-webster-butterfly-heels/ […]