2021 tuliona ambavyo watu maarufu wengi walikuwa wajirabu styles mbalimbali na ku-dare kuwa wa tofauti, tupo 2022 na tunajaribu kujua nini kitafuta lakini mpaka sasa tunaweza kusema tunapenda tunachokiona.
Tumewaona Fashionista’s Hamisa Mobetto, Maua Sama na Macrida Joseph wakiwa wamevalia hizi outfits za Balmain ambapo mara ya kwanza tuliziona kwa Maua yeye alivaa mwaka jana akiwa styled na Macrida Joseph kisha tukamuona Macrida akiwa ameivaa yeye yake ikiwa tofauti kidogo kwani alivaa leggins na sio biker short lakini pia tumeona Hamisa Mobetto na outfit inayoendana na ya Maua.
well let us know nani ame style vizuri hii fit kati ya hawa watatu?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/fendi-prints-on-hamisa-mobetto-maua-sama-macrida-joseph/ […]