Oh well leo Tanzania Sweetheart Wema Sepetu ana timiza miaka 30 na hii ndio alisema itakuwa birthday yake kubwa kufanyika, the fabulous thirty, tumeona tuwaletee baadhi za outfit zake alizozivaa katika miaka yake ya nyuma kidogo na nini ambacho tunategemea kukiona leo
Akiwa ana sheherekea kuingia miaka 26, Wema alifanya birthday party na hii ndio dress aliyoivaa, one shoulder white dress ambayo ilikuwa na slit kwa mbele na glitters around the waist area, alipendeza ameachia nywele zake & makeup on point.
Akiwa ana sheherekea miaka 27 Wema alifanya royal birthday party na dress code ilikuwa white, yeye ali show up in off white dress yenye glitters well she looked good we all know Wema huwa anapendeza in these kinds of dress kwa sababu ya mwili wake.
Miaka 29 hakufanya birthday party lakini pia haikumzuia kutu bless na outfit yake ya birthday, she wore this purple number kutoka kwa mbunifu Elisha red label, showing cleavage as the dress ilikuwa off shoulder, giving us the leg situation na hii long slit alipendeza na makeup yake the only thing that was off to us ni viatu.
- Wema Sepetu Is Blessing Our Monday In Elisha Red Label Dress
- Wema Sepetu Breath Taking In Elisha Red Label Dress
Well with all this flash back unafikiri birthday ya leo au mwaka huu Wema atavaa nini?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…