Leo katika throwback tuomeona tukuletee haya magauni ya harusi ambayo yalivaliwa na hawa fashion divas kutoka Tanzania, well hatudhani kama kuna ambae hawajui hawa divas ambao walifanya vizuri katika nyakati zao, lakini pia ambao wanaendea kufanya vizuri mpaka sasa. Kwanini tumeamua kuweka magauni yao harusi? Kila mwanamke au msichana huwa na ndoto ya vipi harusi yake itakuwa wengi tunakuwa tumesha weka picha kichwani tutavaa nini na kuonekana vipi, well Flaviana na Nancy wao waliota ndoto moja ambapo wote waliamua kuwa na short natural hair wakati Mrs. Mengi yeye ndoto yake ilikuwa tofauti na hawa wawili, lakini pia magauni yao hayafanani tukaona tuwaletee hizi wedding dresses na kukwambia kwamba its okay to be different kila mtu ana ndoto zake tofauti.
Flaviana alivaa off shoulder cinderella dress, ambayo ilimpendeza mno as her body ni ndogo hii ilikuwa perfect choice for her, Flaviana aliamuwa kuwa na less accessories as we all know si mpenzi wa accessories sana akamaliza na natural short hair do.
The back
Jacqueline Mengi yeye alivaa strapless dress na yeye ya Cinderella, she went minimum on her makeup akamalizia na head piece accesories na dropped earrings, well less is more our darlings.
Nancy Sumari yeye alivaa caped dress, ame accessories na fascinator head piece, wakati akiwa na short hair do, amemaliza muonekano wake na minimum accessories na makeup, well sometimes all you need is that statement dress.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-nancy-sumari-na-jacqueline-mengi-wedding-dresses/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-nancy-sumari-na-jacqueline-mengi-wedding-dresses/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 67596 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-nancy-sumari-na-jacqueline-mengi-wedding-dresses/ […]