Ukiongelea list ya watu walio na wanao endele kuipeperusha vizuri bendera ya Tanzania katika Mitindo huwezi kuach kumtaja Flaviana Matata, alianza kujulikana mwaka 2007 aliposhinda katika shindano la Miss Universe, na akaenda kutuwakilisha katika Miss Universe World mwaka huohuo alifanikiwa kuingia katika 15 ya semifinalist na kushika namba 6 katika evening gown competition, Na Flavy ndio Miss wa kwanza kulifungua shindano la Miss Universe.
Kutoka Hapo amekua akituwakilisha vyema katika mitindo amepata deals mbalimbali kubwa na kufanya kazi na magazeti makubwa mbalimbali kama Marieclaire, Essence, Elle Magazine etc.
Leo tunaongelea red carpet looks zake za kitambo hicho tunaweza kusema Flavy been woke since way back
Mwaka 2010 Flaviana aliattend African Wildlife Foundation auction dinner at the American Museum of Natural History New York akiwa amevalia gold and black dress ambayo ilikua na one shoulder akamaliza na gold rounded hearings na bangle.
Hii ilikua mwaka 2012 katika shindano la Red Miss Tanzania, Flaviana alivaa black & silver dress yenye feathers na stones, as usual alikua na low cut na simple accessories with almost no makeup, makeup look.
Red Ribbon Fashion Gala 2012, alivaa red & clream backless dress iliyo mfit very well, akamalizia muonekano wake na black clutch na gold accessories.
Hii nayo ni moja ya favorite look kutoka kwake miake michache iliyo pita.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-red-carpets-looks-from-way-back/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-red-carpets-looks-from-way-back/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 75799 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-red-carpets-looks-from-way-back/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-red-carpets-looks-from-way-back/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-red-carpets-looks-from-way-back/ […]