Tuesday nyingine tena ambayo tunakuletea habari za viatu tulivyo vi-spot watu maarufu wakiwa wamevivaa, Wiki hili tunae mwanadada Flaviana Matata ambae yeye ni mwanamitindo wa kimataifa alietoka hapa Tanzania.
Tumem-spot Flaviana akiwa amevaa hivi viatu vya Gucci ambavyo vina thamani ya $ 1,150/- sawa na 2,615,790/- za ki-Tanzania
Hizi Mid Heels ni moja ya latest designs kutoka kwa Gucci, fashion bloggers mbalimbali wamezivaa na wengi wakizisifia kwamba zipo comfortable, well kama hujajua grand ma shoes are making a comeback na ni nzuri kwa sisi ambao hatuwezi kutembelea heels.
Sifa zake au kilicho ongezewa ni kwamba viatu hivi ni vya leather, vina pearls katika kisigino na double G buckle kwa mbele.
Flaviana yeye alistyle hizi loafers zake na double denim outfit ambapo alivaa a denim jacket na denim suruali ndani ya jacket alivaa t-shirt nyeupe akamalizia muonekano wake na sun glasses, alikuwa safarini so tunaweza kusema hii ilikuwa traveling style yake.
Well tuambie je wewe umevipenda hivi viatu au vikupitie kushoto? una weza kuvishop hapa gucci.com
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-rocking-gucci-mid-heel-loafer-zenye-thamani-ya-2615790/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-rocking-gucci-mid-heel-loafer-zenye-thamani-ya-2615790/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-rocking-gucci-mid-heel-loafer-zenye-thamani-ya-2615790/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 78179 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-rocking-gucci-mid-heel-loafer-zenye-thamani-ya-2615790/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-rocking-gucci-mid-heel-loafer-zenye-thamani-ya-2615790/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-rocking-gucci-mid-heel-loafer-zenye-thamani-ya-2615790/ […]