Mwanamitindo wa kimataifa mwanadada Flaviana Matata ameonekana ku-enjoy mitaa New York Fashion Week 2019, she kept on updating us kwenye show anazoenda lakini pia amevaa nini, well kabla ya kwenda huko Flaviana took her instagram page kuwaambia watu kwamba she is good don’t worry about her na mwili wake.
Nyakati kama hizi ndizo huwazinafanya wengi kujifikiria kuwa watu maarufu mara mbilimbili, people talks about you uwe unafanya jambo zuri au baya lets say hakunaga jema, tumezoea kuona watu maarufu kutoka Nchi za Nje wakilalamika kuwa body shamed guess what? Tanzania nayo imeingia kwenye hio list as watu walikuwa wanamsema Flavy kakonda sana “But isn’t she a model though? yeye akaamua kuwajibu kwamba “he is healthy and that’s what matters the most 💅🏾#ShavuLinajieleza#WakujikondeshanaUsoNaoUngesinyaa” this is what we say “Back to the sender”
Well enough with the body shaming story turudi kwenye slayage zake huko katika New York Fashion week, our girl don’t disappoint tuseme tu kaibeba Tanzania na vitongoji vyake kwa ujumla,
Katika #AmfarGala Flaviana alivaa hii blue velvet dress ambayo ina mpasuo mbele and a lil cleavage, ambapo alimalizia muonekano wake na short hair, no makeup look na accessories kama clutch, hereni na pete na silver strap sandals, we love this look on her.
Wakati alipoenda kuhudhuria show ya Jonathan Cohen Flaviana alivaa hii pink bodycorn dress yenye maua, ambapo alimalizia na floral jacket ya pink iliyo match na gauni yake na white pumps, so #nyfw
She rocked this short black & whute floral dress wakati ameenda kwenye show ya mbunifu Rebecca Minkoff, amemalizia her look with lether jacket, min handbag na white pumps, gotta say the New York Fashion Week street will definitely know her name.
Let the coat do the talking,
Well Afromates outfit ipi kutoka kwa Flaviana uliyoipenda the most?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-slaying-the-nyfw-2019-while-letting-the-haters-know-she-is-good-love-enjoy/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/flaviana-matata-slaying-the-nyfw-2019-while-letting-the-haters-know-she-is-good-love-enjoy/ […]